MAPAMBANO NDOA NA MIMBA ZA UTOTONI -PLAN INTERNATIONAL

 


Meneja mradi wa kupambana na ndoa na mimba za utotoni Kisasu Sikalwanda wa Plan International mkoa wa Rukwa akitoa mada kwa wadau wa mradi huo (hawako pichani) kwenye mafunzo ya namna ya utendaji kazi wa programu hizo za mapambano dhidi ya ndoa za utotoni kwenye ukumbi wa Bethlhem mjini Sumbawanga .

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

WALIOFUKUA KABURI WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI RUKWA

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA