Posts

Showing posts from May, 2022

MIGOGORO WASABABISHWA KANISA HILI KUFUNGWA

Image
MGOGORO ulioibuka katika Kanisa la Mtakatifu Andrea Kantalamba la Anglikani jimbo la Lake Rukwa lililopo katika Mtaa wa Kantalamba Manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa umechukua sura mpya baada ya Serikali kulifunga kwa muda kanisa hilo hadi mgogoro huo utakapotatuliwa. Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Sebastian Waryuba amesema baada ya kukaa na pande mbili zinazosigana katika kanisa hilo amebaini kuwepo kwa mgogoro wa muda mrefu ambao haujapatiwa ufumbuzi na baada ya kuwasiliana na Askofu Mkuu wa Anglikani Tanzania MAIMBO MNDOLWA serikali ya wilaya ya Sumbawanga imeamua kutoa tamko la kulifunga . Waryuba amesisitiza kuwa kanisa hilo halitafunguliwa kwa shughuli yoyote mpaka hapo utakapomalizwa mgogoro huo na askofu Mkuu wa Anglikani na kanisa lolote litakalotokea kuwa na uvunjifu wa amani litafungwa kupisha usuluhishi. Jumapili iliyopita waumini wa Kanisa la Mtakatifu Andrea Kantalamba la Anglikani jimbo la Lake Rukwa lililopo katika Mtaa wa Kantalamba walishindwa kusali katika kanisa

VYOMBO VYA HABARI TOENI ELIMU KUTOKOMEZA UKATILI

Image
 Na Franco Nkyandwale-Sumbawanga. TOENI ELIMU YA WIMBI  LA  UKATILI Mkaguzi msaidi wa jeshi la polisi Wilaya ya Sumbawanga Winnie Dilli Amevitaka vyombo vya habari Mkoani Rukwa kuhakikisha wanatoa elimu juu y a Vitendo vya ukatili vinavyotokea kwa Jamii kama vile tabia za baadhi ya watu kuwalawiti watoto, Ukatili wa kijinsia , Masuala ya ndoa na migogoro mingine inayoweza kupelekea Vitendo vya ukatili . Ameyasema hayo leo Katika maadhimisho ya vyombo vya habari klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Rukwa ambayo   yamewakutanisha wadau mbalimbali Kutoka taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali ili kijadiki kwa pamoja Mambo muhimu Katika kuhabarishana na kuutangaza Mkoa wa Rukwa kupitia vyombo vya habari ikiwa Ni pamoja na kuweka wazi fursa za Mkoa wa Rukwa na kuzitangaza . Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa Habari Mkoa wa Rukwa Ndugu Nswima Enrest amewataka waandishi wa habari kujifunza zaidi kuhusu uand

INCLUSIVE EDUCATION PROJECT TO BEGIN THE THIRD PHASE

Image
  Inclusive Education Project to begin with the Phase 3 of implementation. Inclusive Education Project of Sumbawanga under F PCT church and International Aid services ( Denmark) Wich deals with children with disabilities and special needs to make sure that they get education and supportive equipment like wheelchair is now going to start the other activities to help children with disabilities and special needs to continue going to school through assist with their parents , Schools to consider learning environment for the students who are living with disabilities especially in infrastructure.  Mr.   Suleiman Ibrahim- IE Program Manager Tanzania met with Parents network , Local government authority and other NGO's to inform them about the Phase 3 of the project and what should them do to ensure the project is stability ,Their opinions about the project in the arranged activities , To know their responsibility for the Phase 3 of the project. The inclusive Education Project i