MAPAMBANO NDOA NA MIMBA ZA UTOTONI -PLAN INTERNATIONAL

 


Meneja mradi wa kupambana na ndoa na mimba za utotoni Kisasu Sikalwanda wa Plan International mkoa wa Rukwa akitoa mada kwa wadau wa mradi huo (hawako pichani) kwenye mafunzo ya namna ya utendaji kazi wa programu hizo za mapambano dhidi ya ndoa za utotoni kwenye ukumbi wa Bethlhem mjini Sumbawanga .

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.