Mwakilishi wa Ubalozi wa Pakistani, Muhammad Saleem ameipongeza serikali ya Tanzania kwa hatua ilizochukua kudhibiti #COVIDー19

Mwakilishi wa Ubalozi wa Pakistani, Muhammad Saleem ameipongeza serikali ya Tanzania kwa hatua ilizochukua kudhibiti #COVIDー19 na kuongeza kuwa, tangu ugonjwa huo ulipoingia nchini kasi ya maambukizi ni ndogo ukilinganisha na nchi nyingine, sababu ya hatua thabiti za serikali.