Serikali imekubali maombi ya familia ya mwendazake Askofu Dkt. Getrude Rwakatare



Serikali imekubali maombi ya familia ya Mwendazake Askofu Dkt. Getrude Rwakatare kwamba mama yao azikwe Aprili 23, 2020 katika eneo la Kanisani la Mlima wa Moto. Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema serikali ndiyo itakayosimamia mazishi hayo ambayo washiriki wake hawatozidi 10.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.