Serikali imekubali maombi ya familia ya mwendazake Askofu Dkt. Getrude Rwakatare



Serikali imekubali maombi ya familia ya Mwendazake Askofu Dkt. Getrude Rwakatare kwamba mama yao azikwe Aprili 23, 2020 katika eneo la Kanisani la Mlima wa Moto. Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema serikali ndiyo itakayosimamia mazishi hayo ambayo washiriki wake hawatozidi 10.

Comments

Popular posts from this blog

WALIOFUKUA KABURI WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI RUKWA

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

KUELEKEA MCHEZO WA TZ PRISON NA BIASHARA UNITED...USHINDI LAZIMA