Serikali imekubali maombi ya familia ya mwendazake Askofu Dkt. Getrude Rwakatare



Serikali imekubali maombi ya familia ya Mwendazake Askofu Dkt. Getrude Rwakatare kwamba mama yao azikwe Aprili 23, 2020 katika eneo la Kanisani la Mlima wa Moto. Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema serikali ndiyo itakayosimamia mazishi hayo ambayo washiriki wake hawatozidi 10.

Comments

Popular posts from this blog

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

UTPC KUENDELEA KUELIMISHA UMMA,UMUHIMU WA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI