Mwakilishi wa Ubalozi wa Pakistani, Muhammad Saleem ameipongeza serikali ya Tanzania kwa hatua ilizochukua kudhibiti #COVIDー19



Mwakilishi wa Ubalozi wa Pakistani, Muhammad Saleem ameipongeza serikali ya Tanzania kwa hatua ilizochukua kudhibiti #COVIDー19 na kuongeza kuwa, tangu ugonjwa huo ulipoingia nchini kasi ya maambukizi ni ndogo ukilinganisha na nchi nyingine, sababu ya hatua thabiti za serikali.

Comments

Popular posts from this blog

SERIKALI KUWEKA MIPAKA KULINDA VYANZO VYA MAJI

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA