Mwakilishi wa Ubalozi wa Pakistani, Muhammad Saleem ameipongeza serikali ya Tanzania kwa hatua ilizochukua kudhibiti #COVIDー19



Mwakilishi wa Ubalozi wa Pakistani, Muhammad Saleem ameipongeza serikali ya Tanzania kwa hatua ilizochukua kudhibiti #COVIDー19 na kuongeza kuwa, tangu ugonjwa huo ulipoingia nchini kasi ya maambukizi ni ndogo ukilinganisha na nchi nyingine, sababu ya hatua thabiti za serikali.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.