Mauritania haijarekodi kisa kingine cha coronavirus



Mauritania haijarekodi kisa kingine cha coronavirus, siku 2 baada ya mgonjwa wa mwisho kupona. Nchi hiyo ilikuwa na wagonjwa 7, ambapo 6 wamepona & mmoja amefariki. Wagonjwa waliopona wataendelea kutengwa kwa siku 14. Nchi hiyo iliripoti kisa cha kwanza Machi 13, 2020.

Comments

Popular posts from this blog

WALIOFUKUA KABURI WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI RUKWA

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

KUELEKEA MCHEZO WA TZ PRISON NA BIASHARA UNITED...USHINDI LAZIMA