Mauritania haijarekodi kisa kingine cha coronavirus



Mauritania haijarekodi kisa kingine cha coronavirus, siku 2 baada ya mgonjwa wa mwisho kupona. Nchi hiyo ilikuwa na wagonjwa 7, ambapo 6 wamepona & mmoja amefariki. Wagonjwa waliopona wataendelea kutengwa kwa siku 14. Nchi hiyo iliripoti kisa cha kwanza Machi 13, 2020.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.