UVCCM MKOA WA RUKWA WAKUTANA


 UVCCM MKOA WA RUKWA


Leo asubuh tarehe 29/11/2022 Mwenyekit wa uvccm mkoa wa Rukwa ndugu Albert kipele amekutana na Makamu  Mwenyekit wa uvccm Taifa Bi,Rehema Sombi na kufanya naye Mazungumzo juu ya agenda za vijana Mkoani Rukwa 


Mazungumzo hayo yalifanyika hotel ya Moreno Dodoma . mwenyekit alikuwa ameambatana na katbu wa uvccm wilaya ya kilosa,ukumbuke katibu wa uvccm wilaya ya kilosa ana vinasaba vya maendeleo na mkoa wa Rukwa


Imetolewa na idara ya hamasa na chipukizi mkoa wa Rukwa 

Makarius Kayumbi

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.