WAFANYABIASHARA MKOANI RUKWA WAELEZA SABABU ZA KUENDELEA KUPANDA KWA BEI YA BIDHAA



 

WAFANYABIASHARA MKOANI RUKWA WAELEZA SABABU ZA KUENDELEA KUPANDA KWA BEI YA BIDHAA

RUKWA-SUMBAWANGA.na Peter Helatano

Wafanyabiashara wa vifaa vya ujenzi  Mkoani Rukwa  wamesema wingi wa Tozo zinazotozwa na serikali na mamlaka zake sanjari na kupanda kwa gharama za usafirishaji wa bidhaa za ujenzi ndicho chanzo cha kupanda kwa bei  kubwa ya bidhaa hizo.

Hayo yemeelezwa na wafanyabiashara  mjini Sumbawanga sababu zinazowapelekea kupandisha bei ya bidhaa ya vifaa vya ujenzi huku wananchi wakilalamika kwa maumivu waanayoyapata na Kuiomba serikali  kuondoa baadhi ya tozo zinazokuwa kikwazo katika biashara ya vifaa vya ujenzi.

Aidha kupanda kwa bei ya mafuta kumepelekea kuongezeka kwa gharama za usafirishaji hali inayoongeza bidhaa za ujenzi kupanda bei ili kuwasaidia wauzaji kupata faida na kuweza kumudu gharama za usafirishaji wa bidhaa kutoka nje na ndani.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.