DC TANO MWERA AAGIZA WAKANDARASI RUWASA KUJENGA MIRADI KWA KIWANGO KINACHOTAKIWA



 DC TANO MWERA AAGIZA WAKANDARASI RUWASA KUJENGA MIRADI KWA KIWANGO KINACHOTAKIWA

KALAMBO-RUKWA


Mkuu wa wilaya ya Kalambo iliyopo Mkoani Rukwa TANO MWERA amewataka wakandarasi na wasimamizi wa RUWASA wilayani humo kuhakikisha Miradi ya maji pamoja na miundombinu yake inajengwaa kwa kiwango kitakachowezesha miradi ya maji kudumu kwa mda mrefu ili kupunguza changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi.

Ameleeza hayo baada ya kuambatana na kamati ya usalama wilayani humo kwa lengo la kukagua Miaradi ya maji  inayojengwa katika vijiji vya Luse,Kalaela na Kalemasha inayofadhiliwa na fedha za uviko na P4R, huku  FRANCIS MAPUNDA kutoka kitengo cha Uhandisi RUWASA Kalambo akieleza maendeleo ya miradi hiyo.

Aidha Kamanda wa TAKUKURU Wilayani humo LUPAKISYO MWAKYOLILE ametoa wito kwa RUWASA kuweka utaraibu mzuri wa Kulinda miundombinu ya maji ili iweze kudumu kwa mda mrefu na kusimamia ipasavyo makusavyo ya bili za maji huku wananachi wakipongeza hatua ya kufikiwa na miradi ya maji katika maeneo yao kwani itasaidia kuwaondolea

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.