TATHMINI YA UTOAJI WA CHANJO YA UVIKO 19 NYANDA ZA JUU KUSINI


 

WATAALAM WA AFYA WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUPATA CHANJO YA COVID 19

Na Peter Helatano-Sumbawanga - Rukwa

Waatalaamu wa fya katika nyanda za juu kusini wametakiwa kujitokeza na kuwa mstari wa mbele katika kupata chanjo ya uviko 19 ili kuongeza hamasa kwa wananchi kupata chanjo ya corona kutokana na takwimu za zoezi  hilo  kwenye mikoa hiyo kuwa chini ukilingasha na mikoa mingine nchini.

 

Hayo yamebainishwa na kaimu katibu tawala mkoani Rukwa david kilonzo wakati wa ufunguzi wa kikao cha tathimini ya  zoezi  la utoaji chanjo ya uviko 19  katika mikoa   ya rukwa , katavi na songwe  kikao kilichofanyika mjini sumbawanga.

Awali akitoa taarifa ya utekelezaji wa zoezi hilo kwenye mikoa ya nyanda za juu kusini mkurugenzi wa shirika la walter reed) Sally Chalamila  akaelezea mafanikio ya zoezi hilo huku mkurugenzi msaidizi elimu ya afya kwa umma kutoka wizara ya afya  dkt. Amalberga Kasangala akisisiza umhimu wa chanjo.

 

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.