RC HOMERA ASISITIZA UBUNIFU KWA WAANDISHI WA HABARI




 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera akifungua mkutano uliondaliwa na Mfuko wa mawasilino kwa wote ( USCAF) na kuwakutanisha wakurugenzi wa Televisheni za Mtandano na Redio Kutoka katika Mkoa wa Rukwa, Katavi,Njome, Songea na Mbeya ili kujadili kwa pamoja namna ya kuendelea kuboresha huduma za mawasiliano kwa wote ambapo amewataka waandishi wa habari kuhakikisha wanaitendea jamii kwa kuipatia habari zenye ubora na weledi na zinazoendana na kasi ya maendeleo ya teknolojia, Aidha RC Homera amewataka waandishi kuwa wabunifu katika kuandika habari zao ili ziwe na mvuto kwa wasomaji,watazamji na wasikilizaji.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.