UHURU WA KUJIELEZA NA MAADILI YA KAZI KWA MWANDISHI WA HABARI.



 

 

UHURU WA KUJIELEZA NA MAADILI YA KAZI KWA MWANDISHI WA HABARI.

·         NduguMwenyekitiwa  Chama cha WandishiwaHabariMkoaniRukwanatimuyako.

·         Mgenirasmi, viongozimliopomahalihapa, WandishiwaHabari, wadauwotewaHabariMabibinaMabwananawasalimiakwaJina la JamuhuriwaMuunganowa Tanzania.

·         KipekeenamshukuruMungukwakutupunguziamadhilakatikajamiiyetuambapotunaendelezakuitekelezakaziyaHabariikiwanisehemuyakipawachetuambachotumejaliwanaMaulana.

·         Aidha, namshukurumtoawazo la kuwanakongamano la uhuruwakujielezanamaadilijuuyaTasniayaHabarikwaMwandishiwaHabari.

·         Natambuakwambakilatasniainamaadilinamisingiyakeyakaziilikudumishauhuru, amaninauzalendokwamaslahimapanayajamiiyaWatanzania.

·         Hivyobasi, kwafursahiinawashukuruwaliodhaminizoezihiliambaoni UTPC (UmojawaWandishiwaHabari Tanzania) kwakushirikiananaInternational Media Support, (IMS).

·         UhuruwakujielezaniutashiwaMwandishiwakuoneshahisiazakekwajamiiau kwamamlakailiyopokatikamisingiyakiuchumi, kisiasa, kihisia, kisaikolojia, kijamii, kiimani, katikakuzingatiamaadiliyatasiniayahabarikwamanufaayaummakwaumahirihusika.

·         UhuruwakujielezawaMwandishiwaHabarinaMaadili, Mwandishihujielezakwananinamaadiliaoneshekwanani..!bilashakaanawajibikakwajamii

·         Mwandishianawezakujielezakwamaandishi,maneno, picha, alama, au vikakaragosiilimradiawezekuiteteahojayakekwamanufaayawananchikwakuzingatiamiikoyauandishiwaHabarinaKatibayaNchi.

·         Hapanidhahirikwamba,MwandishiwaHabariyupochiniyaMamlakaambayoniserikali au Wananchi,ambaoniwalajiwahabarizauandishi wake.

·         UhuruwakujielezasiokwaMwandishiwaHabaritu, baliumetajwakatikaKatibayaJamuhuriyaMuunganowa Tanzaniayamwaka 1977ibaraya 18 nasehemuzakeikiwanimisinginahakizaBinadamukikatiba.

·         InasadikikakwambabaadhiyaWandishiHabarisiowaaminifunawadilifu pale anapoisalitiTasniayaHabarinakuwamawakalawakuwatumikiavibarakaambaoniwaporajiwahakizawananchi.

·         MwandishiwaHabarianastahilikuioneshajamiikaziyakeyenyeukweli, uwazi, upendonauzalendoambaounafichuauovuuliokokwabaadhiyaTaasisibinafsinaviongoziwaumma.

·         Uhuruwakujielezaunawezakukosekana pale tumamlakatawalaambapohazikubalianinaukwelinauwaziwakazizaMwandishiambazoumezingatiamisinginamaadiliyauandishiwaHabari.

·         MamlakakwamujibuyautashiwaMsimamiziwasheriakandamizibaadhiambazohaziendaninawakatitunashuhudiakufungiwakwavyombovyahabarikamaMagazeti, Majarida, Radio, LuninganaMitandaoyaKijamii.

·         Siohivyotu, baadhiyaWandishiwaHabarihutekwanakuteswa, kufungwajelakwakutengenezewakesi, kuuawa, kutishiwamaisha, kuharibiwakwavitendeakazikamakameraamakupokwasimuilimradikulindaubadhilifu.

·         Baadhiyaviongoziwaumma au Taassisibinafsikushindwakutoaushirikianowakutoahabarikwawandishikwahofunaubinafsiwakimaslahi.

·         Kwavitendohivyohufifishauhuruwakujielezakwawandishiwahabariambaowanakosaujasirinakuwahofuyakuishi, kwanihakunahabariyenyethamanikulikomaisha.

·         Kwaupandemwingine, hasakwaWandishiwaHabariambaohawanaviwangovyastadizakiuandishi, maadilinauweledi,huwaniusalitinakuichafuatasniayahabari.

·         Lakini,katikakukiukamaadiliyakazi, kukosauaminifu, kujipendekeza, tegemeo la kupatamaslahi au ushabikiwamrengofulaniwapobaadhiyawandishihufanyaupotoshajiilikujinufaishanakusahaukiapo cha upendonauzalendokwajamii.

·         Namnanzurinasalamakwakiasifulani, nikuwanajukwaa la pamoja la kupazasautizawandishiwahabariilikuishawishiserikalikuondoasheriakandamizikwavyombovyahabarikamavilivyovyamavyawandishiwahabarikwakilamkoanakuwamwamvulimmojakamailivyo UTPC naBaraza la Habari Tanzania ingawavyombohivyohukumbwanachangamotozahapana pale kamakutegemeaufadhilizaidinawenyemasharti.

·         Kidogosikwaumuhimusana, MwandishiwaHabarianapaswakuzingatiaUzalendowaNchiyake, Upendo, Mawasiliano, MahusianomemanaUshirikianonakutokuwakuwachanzo cha uchochezinakuletataharukikatikajamii.

·         MwandishiwaHabari awe kichocheowakuibuahoja, zakufikiasuluhishona awe Mwalimumwemakatikakufundishakwakutumiakalamuambayonitamunachunguikitumikavibaya.

·         HayoyatawezekanaendapoMwandishiwaHabariatapewamafunzokulingangananakadambalimbaliilikukuzaumahirikatikatasniayahabari.

·         Mwandishi awe namikatabakatikachombo cha habarianachofanyiakaziilikukidhinakujikimukatikajamiianayoishiasiwetegemezikifamilia.

·         Kufanyakazikewakuzingatiakanuni, taratibu, nasheriautenzihuoutakuzauzalendonamaendeleachanyakwajamiinakuondokananachangamoto.

Asantenikwa Usikivu.

Nawasilisha.

 

                      ……………………………………………………………..

Mwalimu Franco NKYANDWALE.

MWANDISHI WA HABARI KATIKA MITANDAO YA KIJAMII.

                                            SUMBAWANGA RUKWA,


Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.