UHURU WA KUJIELEZA NA MAADILI YA KAZI KWA MWANDISHI WA HABARI.



 

 

UHURU WA KUJIELEZA NA MAADILI YA KAZI KWA MWANDISHI WA HABARI.

·         NduguMwenyekitiwa  Chama cha WandishiwaHabariMkoaniRukwanatimuyako.

·         Mgenirasmi, viongozimliopomahalihapa, WandishiwaHabari, wadauwotewaHabariMabibinaMabwananawasalimiakwaJina la JamuhuriwaMuunganowa Tanzania.

·         KipekeenamshukuruMungukwakutupunguziamadhilakatikajamiiyetuambapotunaendelezakuitekelezakaziyaHabariikiwanisehemuyakipawachetuambachotumejaliwanaMaulana.

·         Aidha, namshukurumtoawazo la kuwanakongamano la uhuruwakujielezanamaadilijuuyaTasniayaHabarikwaMwandishiwaHabari.

·         Natambuakwambakilatasniainamaadilinamisingiyakeyakaziilikudumishauhuru, amaninauzalendokwamaslahimapanayajamiiyaWatanzania.

·         Hivyobasi, kwafursahiinawashukuruwaliodhaminizoezihiliambaoni UTPC (UmojawaWandishiwaHabari Tanzania) kwakushirikiananaInternational Media Support, (IMS).

·         UhuruwakujielezaniutashiwaMwandishiwakuoneshahisiazakekwajamiiau kwamamlakailiyopokatikamisingiyakiuchumi, kisiasa, kihisia, kisaikolojia, kijamii, kiimani, katikakuzingatiamaadiliyatasiniayahabarikwamanufaayaummakwaumahirihusika.

·         UhuruwakujielezawaMwandishiwaHabarinaMaadili, Mwandishihujielezakwananinamaadiliaoneshekwanani..!bilashakaanawajibikakwajamii

·         Mwandishianawezakujielezakwamaandishi,maneno, picha, alama, au vikakaragosiilimradiawezekuiteteahojayakekwamanufaayawananchikwakuzingatiamiikoyauandishiwaHabarinaKatibayaNchi.

·         Hapanidhahirikwamba,MwandishiwaHabariyupochiniyaMamlakaambayoniserikali au Wananchi,ambaoniwalajiwahabarizauandishi wake.

·         UhuruwakujielezasiokwaMwandishiwaHabaritu, baliumetajwakatikaKatibayaJamuhuriyaMuunganowa Tanzaniayamwaka 1977ibaraya 18 nasehemuzakeikiwanimisinginahakizaBinadamukikatiba.

·         InasadikikakwambabaadhiyaWandishiHabarisiowaaminifunawadilifu pale anapoisalitiTasniayaHabarinakuwamawakalawakuwatumikiavibarakaambaoniwaporajiwahakizawananchi.

·         MwandishiwaHabarianastahilikuioneshajamiikaziyakeyenyeukweli, uwazi, upendonauzalendoambaounafichuauovuuliokokwabaadhiyaTaasisibinafsinaviongoziwaumma.

·         Uhuruwakujielezaunawezakukosekana pale tumamlakatawalaambapohazikubalianinaukwelinauwaziwakazizaMwandishiambazoumezingatiamisinginamaadiliyauandishiwaHabari.

·         MamlakakwamujibuyautashiwaMsimamiziwasheriakandamizibaadhiambazohaziendaninawakatitunashuhudiakufungiwakwavyombovyahabarikamaMagazeti, Majarida, Radio, LuninganaMitandaoyaKijamii.

·         Siohivyotu, baadhiyaWandishiwaHabarihutekwanakuteswa, kufungwajelakwakutengenezewakesi, kuuawa, kutishiwamaisha, kuharibiwakwavitendeakazikamakameraamakupokwasimuilimradikulindaubadhilifu.

·         Baadhiyaviongoziwaumma au Taassisibinafsikushindwakutoaushirikianowakutoahabarikwawandishikwahofunaubinafsiwakimaslahi.

·         Kwavitendohivyohufifishauhuruwakujielezakwawandishiwahabariambaowanakosaujasirinakuwahofuyakuishi, kwanihakunahabariyenyethamanikulikomaisha.

·         Kwaupandemwingine, hasakwaWandishiwaHabariambaohawanaviwangovyastadizakiuandishi, maadilinauweledi,huwaniusalitinakuichafuatasniayahabari.

·         Lakini,katikakukiukamaadiliyakazi, kukosauaminifu, kujipendekeza, tegemeo la kupatamaslahi au ushabikiwamrengofulaniwapobaadhiyawandishihufanyaupotoshajiilikujinufaishanakusahaukiapo cha upendonauzalendokwajamii.

·         Namnanzurinasalamakwakiasifulani, nikuwanajukwaa la pamoja la kupazasautizawandishiwahabariilikuishawishiserikalikuondoasheriakandamizikwavyombovyahabarikamavilivyovyamavyawandishiwahabarikwakilamkoanakuwamwamvulimmojakamailivyo UTPC naBaraza la Habari Tanzania ingawavyombohivyohukumbwanachangamotozahapana pale kamakutegemeaufadhilizaidinawenyemasharti.

·         Kidogosikwaumuhimusana, MwandishiwaHabarianapaswakuzingatiaUzalendowaNchiyake, Upendo, Mawasiliano, MahusianomemanaUshirikianonakutokuwakuwachanzo cha uchochezinakuletataharukikatikajamii.

·         MwandishiwaHabari awe kichocheowakuibuahoja, zakufikiasuluhishona awe Mwalimumwemakatikakufundishakwakutumiakalamuambayonitamunachunguikitumikavibaya.

·         HayoyatawezekanaendapoMwandishiwaHabariatapewamafunzokulingangananakadambalimbaliilikukuzaumahirikatikatasniayahabari.

·         Mwandishi awe namikatabakatikachombo cha habarianachofanyiakaziilikukidhinakujikimukatikajamiianayoishiasiwetegemezikifamilia.

·         Kufanyakazikewakuzingatiakanuni, taratibu, nasheriautenzihuoutakuzauzalendonamaendeleachanyakwajamiinakuondokananachangamoto.

Asantenikwa Usikivu.

Nawasilisha.

 

                      ……………………………………………………………..

Mwalimu Franco NKYANDWALE.

MWANDISHI WA HABARI KATIKA MITANDAO YA KIJAMII.

                                            SUMBAWANGA RUKWA,


Comments

Popular posts from this blog

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

KUELEKEA MCHEZO WA TZ PRISON NA BIASHARA UNITED...USHINDI LAZIMA

RC SENDIGA: TUTAFANYA MAPINDUZI YA KILIMO RUKWA