Being,China -Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU)inashiriki kongamano la 5 la kimataifa la mashirikiano katika mapambano dhidi ya rushwa,linaloendelea jijini Beijing China. Kongamano hili limewakutanisha mamlaka 219 kutoka nchi 121 duniani,likilenga kubafilishana uzoefu na utaalamu katika jukumu la kuzuia na kupambana na rushwa Kongamano hili la siku Tano limejumuisha warsha ya viongozi wa mamlaka za kuzuia na kupambana na rushwa(high level Forum),ambapo Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU ,Bw.Crispin Francis Chalamila,amewasilisha mada kuhusu "mfumo wa Sheria wa Tanzania katika mapambano dhidi ya rushwa"katika mada yake Bw.Chalamila ameeleza jinsi ambavyo serikali ya Tanzania imekuwa ikijipambanua katika mapambano dhidi ya rushwa kwa kuimarisha mifumo ya Sheria na ya kitaasisi.Alibainisha uanzishwaji wa divisheni ya mahakama kuu inayoshughulikia masuala ya rushwa na uhujumu uchumi kuwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha uwajibikaji na utawala Bora. TAKUKURU...
Disability is a condition that results from a temporary or permanent physical or mental defect that limits a person's ability and equal opportunities in the performance of various social responsibilities. Such deficiencies can be exacerbated by the environment and the community's perception of disability. In our society and elsewhere in the world a person with a disability is accompanied by stigma based on outdated traditions. As a result, people with disabilities are often seen as dependent and incapable of being helped by non-disabled people to make ends meet. This attitude leads to the exclusion of people with disabilities in the daily lives of the community around them. This view is negative and goes against basic human rights. The Constitution of the United Republic of Tanzania insists that all human beings are equal and that they are entitled to equal rights regardless of race, ethnicity, gender and religion. The Persons with Disabilities Act, 2010 section 26 (...
RC MKIRIKITI: MIAKA 60 YA UHURU IFANYE WATUMISHI WA UMMA KUSHIKAMANA Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti amewataka watumishi wa umma kutumia sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara kuendeleza amani na mshikamano mahala pa kazi. Ametoa wito huo leo (08.12.2021) wakati akizungumza na watumishi wa halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru ambapo amewapongeza kwa kazi nzuri iliyochangia maendeleo ya taifa. " Nimekuja hapa kuwapongeza watumishi wote wa Manispaa kwa niaba ya watumishi wengine wa umma wa mkoa wa Rukwa kwa kazi nzuri mliyofanya hata leo Taifa letu linafikia mafanikio ya miaka 60 ya kuwa huru. Endeleeni kuwa wazalendo kwa taifa letu " alisema Mkirikiti. Katika kikao hicho kilichohudhuriwa na Mkuu wa Wilaya Sebastian Waryuba na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Jacob Mtalitinya watumishi wametakiwa kuendelea kutekeleza wajibu wao kwa kuzingatia haki,upendo na mshikamano . Mkirikiti alitumia fursa hiyo k...
Comments
Post a Comment