CHUKUENI MAAMUZI..RC MKIRIKITI
- Get link
- X
- Other Apps
Na Franco NKYANDWALE NKASI
"Chukua maamuzi sasa ya kuchanja ili ujiepushe na ugonjwa wa CORONA ambao huua watu kwa uharaka.
CORONA inaendelea kuangamiza watu kote duniani na wala si mchezo chukua TAHADHARI.
Tuchanje ili kujikinga na gojwa la CORONA ambapo serikali ya TANZANIA inatoa chanjo bure kwa watu wote”
Asema huko NKASI, Mkuu wa Mkoa RUKWA Joseph Joseph Mkirikiti.
Published by Peter Helatano
- Get link
- X
- Other Apps
Comments
Post a Comment