CHUKUENI MAAMUZI..RC MKIRIKITI


 Na Franco NKYANDWALE NKASI 


"Chukua maamuzi sasa ya kuchanja ili ujiepushe na ugonjwa wa CORONA ambao huua watu kwa uharaka.

 CORONA inaendelea kuangamiza watu kote duniani na wala si mchezo chukua TAHADHARI.

 Tuchanje  ili kujikinga na gojwa la CORONA ambapo serikali ya TANZANIA inatoa chanjo bure kwa watu wote” 

Asema huko NKASI, Mkuu wa Mkoa RUKWA Joseph Joseph Mkirikiti.

Published by Peter Helatano

Comments

Popular posts from this blog

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

UTPC KUENDELEA KUELIMISHA UMMA,UMUHIMU WA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI