TANROADS KUTOA MAFUNZO TABORA


 Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mjini, Yahaya Nawanda, akimuelekeza jambo Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Tabora, Mhandisi Raphael Mlimaji, wakati akifungua semina ya mafunzo kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018, mkoani Tabora.

Comments

Popular posts from this blog

WALIOFUKUA KABURI WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI RUKWA

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

RC SENDIGA: TUTAFANYA MAPINDUZI YA KILIMO RUKWA