TANROADS KUTOA MAFUNZO TABORA


 Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mjini, Yahaya Nawanda, akimuelekeza jambo Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Tabora, Mhandisi Raphael Mlimaji, wakati akifungua semina ya mafunzo kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018, mkoani Tabora.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.