SKAUTI KUANZA KUFANYA KAZI YA KUPAMBANA NA RUSHWA RASMI

 


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Joseph Mkirikiti akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mwongozo wa Mafunzo kwa Vijana wa Skauti kuhusu Kuzuia na Kupambana na Rushwa ambapo leo ametoa wito kwa Maafisa Elimu kutumia mwongozo huo kudhibiti vitendo vya wanafunzi wa kike kupata mimba .Ametaja Wilaya ya Nkasi kuwa inaongoza kwa wasichana 25 kuripotiwa kushindwa kuendelea na masomo mwaka huu kutokana na mimba za utotoni.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.