RC WA GEITA NA WADAU WA USAFIRISHAJI


 

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule, akifungua Semina ya mafunzo kwa wadau wa usafirishaji (hawapo pichani), kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018, mkoani Geita.

Comments