DAVIDO AFANYA USAMARIA WEMA


Na Peter Helatano..0621374025
 Msanii maarufu nchini Nigeria DAVIDO aliendesha kampeni kupitia mtandao wa kijamii Instagram akiwaomba marafiki zake mbalimbali Afrika wanamziki akiwemo Diamond Platnumz kumchangia fedha kwa ajili ya Maandalizi ya Siku yake ya Kuzaliwa.. Birthday..Baada ya kufanikisha Jambo hilo kwa kuchangiwa kiasi Cha Bilioni 2.5 Fedha hizo hatimaye Amezieleka kwa Watoto yatima kuwapatia msaada.Hili no funzo pia kwa wasanii wengine wakubwa wanapofanya Anasa wasiwasahau watu wenye Mahitaji,Kwani Hali hiyo itakufanya kuwa na Baraka Katika shuguli zako.Jiulize wewe umewahi kufanya Nini amabacho unahisi ni moja ya Sadaka Katika maisha yako.

Comments

Popular posts from this blog

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

UTPC KUENDELEA KUELIMISHA UMMA,UMUHIMU WA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI