WEKENI MKIKAKATI KUPUNGUZA TATIZO HILI

 



Mkuu wa wilaya sumbawanga Mh.Sebastian Warioba amewaagiza madiwani kuhakikisha wanatafuta namna nzuri ya kudhibiti wimbi la watoto wa mitaani katika maeneo yao,Ametoa agizo hilo katika balaza la madiwani lilifanyika katika ukumbi wa manispaa ya Sumbawanga ..’Watoto ni wengi na wanaongezeka hivyo tuwe na mikakatati ya kushirikisha wadau kama NGOs na wadau wengine kuwachukua watoto hao na kuwapatia elimu kwani wengine ni wadogo kabisa umri wa kwenda shule. Watoto hawa watakuja kuwa hatari sana tusipokuwa makini.imeandaliwa na PETER HELATANO

Comments

Popular posts from this blog

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

WALIOFUKUA KABURI WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI RUKWA