WEKENI MKIKAKATI KUPUNGUZA TATIZO HILI

 



Mkuu wa wilaya sumbawanga Mh.Sebastian Warioba amewaagiza madiwani kuhakikisha wanatafuta namna nzuri ya kudhibiti wimbi la watoto wa mitaani katika maeneo yao,Ametoa agizo hilo katika balaza la madiwani lilifanyika katika ukumbi wa manispaa ya Sumbawanga ..’Watoto ni wengi na wanaongezeka hivyo tuwe na mikakatati ya kushirikisha wadau kama NGOs na wadau wengine kuwachukua watoto hao na kuwapatia elimu kwani wengine ni wadogo kabisa umri wa kwenda shule. Watoto hawa watakuja kuwa hatari sana tusipokuwa makini.imeandaliwa na PETER HELATANO

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.