RC MKIRIKITI: TRA SIMAMIENI SHERIA ZA KODI

 Mkuu wa mkoa wa Rukwa MH.JOSEPH MKIRIKITI amewataka TRA Mkoa wa Rukwa kuhakikisha wanasimamia sheria za kodi,kutoa elimu ili ukusanyaji kodi katika mkoa wa Rukwa uweze kuleta maendeleo ''SIMAMIENI SHERIA MAHAKAMA ZIPO ZITASHUGULIKA SIO KILA KITU KIZURI DAR ES SALAAM TUTUMIE MAPATO YETU KUBORESHA MAENEO YETU'' Amesema hayo katika kikao cha kamati ya kusimamia,kudhibiti na kuratibu mapato na matumizi ya serikali.Imenadaliwa na Peter Helatano


Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.