MKIRIKITI; MYAPUUZE MANENO YA WANAOPTOSHA JUU YA Uviko 19

 



Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh.Joseph Mkirikiti Ametoa maagizo kwa Mkurugenzi wa manispaa ya Sumbawanga kukamilisha majengo ya shule na Zahanatiyaliyo katika hatua za mwisho ili kuepusha msongamano madarasani na vituo vya Afya katika kipindi hiki cha kupambana na wimbi la tatu la Uviko 19 wakati akikagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika manispaa ya Sumbawanga.Aidha amewataka wanachi kupuuza watu wanaopotosha juu ya Uviko 19 na badala yake wazingatie Ushauri unaotolewa na wahudumu wa Afya na Serikali kwa ujumla.Imeandaliwa na Peter Helatano

Comments

Popular posts from this blog

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

UTPC KUENDELEA KUELIMISHA UMMA,UMUHIMU WA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI