KUELEKEA MCHEZO WA TZ PRISON NA BIASHARA UNITED...USHINDI LAZIMA

 Kikosi cha Tanzania Prison kimejiandaa vizuri katika kuwakabili wahasimu wao Biashara United katika mchezo wao utakaochezwa katika dimba la Nelson Mandela mjini Sumbawanga. SHABANI KAZUMBA Kocha msaidizi wa club hiyo anasema kikosi chake kimajiandaa vikali kuhakikisha wanapata ushindi kwani wakikutana na timu yake pinzani huwa wanasumbuliwa wakiwa ugenini hivyo atatumia vyema nafasi yake ya Nymbani kuhakikisha anachukua pointi 3 muhimu kutoka kwa Biashara united....Imeandaliwa na PETER HELATANO








Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.