KUELEKEA MCHEZO WA TZ PRISON NA BIASHARA UNITED...USHINDI LAZIMA

 Kikosi cha Tanzania Prison kimejiandaa vizuri katika kuwakabili wahasimu wao Biashara United katika mchezo wao utakaochezwa katika dimba la Nelson Mandela mjini Sumbawanga. SHABANI KAZUMBA Kocha msaidizi wa club hiyo anasema kikosi chake kimajiandaa vikali kuhakikisha wanapata ushindi kwani wakikutana na timu yake pinzani huwa wanasumbuliwa wakiwa ugenini hivyo atatumia vyema nafasi yake ya Nymbani kuhakikisha anachukua pointi 3 muhimu kutoka kwa Biashara united....Imeandaliwa na PETER HELATANO








Comments

Popular posts from this blog

WALIOFUKUA KABURI WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI RUKWA

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

RC SENDIGA: TUTAFANYA MAPINDUZI YA KILIMO RUKWA