NAMNA MRADI WA ELIMU JUMUISHI UNAVYOKUWA KWA JAMII

 





Mradi wa elimu jumuishi Sumbawanga umekuwa na matokeo chanya kwa jamii,wanajamii wamekuwa na uelewa mapana juu ya kuishi na watoto wenye mahitaji maalumu,namna ya kuwahudumia na kuzingatia miundombinu itakayokuwa rafiki kwa watoto wawapo nyumbani au shuleni pia. Lakini changamoto ni kwa baadhi ya shule kutotunza miundombinu inayoboreshwa na mradi huu. Hivyo sisi kama wanajamii tuamke na kuthamini msaada tunaopatiwa lakini pia kujitoa katika uchangiaji kwa watu wenye mahitaji maalumu. Mradi huu unalenga kuwasaidia watu wenye mahitaji maalumu ikiwa ni pamoja na kuwasaidia vifaa saidizi mradi ambao unasimamiwa na ERICK KAMKONO ambao unaratibiwa na kanisa la FPCT na ICD Kwa hapa Tanzania. Imeandaliwa na Peter Helatano

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.