TASAF, Tumefikia dhima ya serikali kupunguza umasikini nchini

 


Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF Umepiga hatua katika kufikia adhma ya serikali katika kupunguza umasikini. Takwimu zinaonesha  kuwa umasikini wa mahitaji ya msingi wa kaya za walengwa umepungua kwa 10% na umasikini uliokisiri kwa walengwa umepungua kwa 12%. Kwani wamejishughulisha vyema katika shughuli za kilimo,uvuvi na biashara.

Comments

Popular posts from this blog

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

UTPC KUENDELEA KUELIMISHA UMMA,UMUHIMU WA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI