TASAF, Tumefikia dhima ya serikali kupunguza umasikini nchini

 


Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF Umepiga hatua katika kufikia adhma ya serikali katika kupunguza umasikini. Takwimu zinaonesha  kuwa umasikini wa mahitaji ya msingi wa kaya za walengwa umepungua kwa 10% na umasikini uliokisiri kwa walengwa umepungua kwa 12%. Kwani wamejishughulisha vyema katika shughuli za kilimo,uvuvi na biashara.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.