SHUHUDIA KILIO CHA WANAFUNZI WANAOTEMBEA KILOMITA 20 KUFATA MASOMO


 Wanafunzi kutoka kijiji cha Nambogo wamekuwa wakitembea zaidi ya kilomita 20 kufata masomo yao katika shule ya sekondari Kalangasa hali inayopelekea wengi wao kukatisha masomo kutokana na umbali mrefu,Hivyo wamemuomba mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dr.Halfani Haule kuwasaidia alipoitembelea shule hiyo akiwa kwenye ziara yake wilayani hapo.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.