SHUHUDIA KILIO CHA WANAFUNZI WANAOTEMBEA KILOMITA 20 KUFATA MASOMO


 Wanafunzi kutoka kijiji cha Nambogo wamekuwa wakitembea zaidi ya kilomita 20 kufata masomo yao katika shule ya sekondari Kalangasa hali inayopelekea wengi wao kukatisha masomo kutokana na umbali mrefu,Hivyo wamemuomba mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dr.Halfani Haule kuwasaidia alipoitembelea shule hiyo akiwa kwenye ziara yake wilayani hapo.

Comments

Popular posts from this blog

WALIOFUKUA KABURI WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI RUKWA

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

KUELEKEA MCHEZO WA TZ PRISON NA BIASHARA UNITED...USHINDI LAZIMA