MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

 Leo ni siku ya kipekee kabisa kwa vyombo vya habari duniani kufurahia uhuru.Maadhimisho haya yanalenga uhuru wa kujieleza,kutangaza fursa mbalimbali katika sehemu mbalimbali. Rukwa Press club tumefanya maadhimisho haya yenye tija tarehe 07.05.2020. Kauli mbiu yetu ikiwa ni 'HABARI KWAMANUFAA YA UMMA'




Comments

Popular posts from this blog

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

UTPC KUENDELEA KUELIMISHA UMMA,UMUHIMU WA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI