MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

 Leo ni siku ya kipekee kabisa kwa vyombo vya habari duniani kufurahia uhuru.Maadhimisho haya yanalenga uhuru wa kujieleza,kutangaza fursa mbalimbali katika sehemu mbalimbali. Rukwa Press club tumefanya maadhimisho haya yenye tija tarehe 07.05.2020. Kauli mbiu yetu ikiwa ni 'HABARI KWAMANUFAA YA UMMA'




Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.