LAMBALAMBA WAFICHUA WACHAWI KUZUA TAHARUKI

 

Baadhi wa wananchi bado wanakumbatia imani potofu zinazopelekea migogoro baina yao. Watu maarufu kwa jina la LAMBALAMBA  wamekuwa wakifanya kazi ya kufichua wachawi hali inayopelekea migogoro kwa wananchi 





Wananchi katika kijiji cha Mawenzusi Manispaa ya Sumbawanga mkoni Rukwa wamelalamikia utapeli unaofanywa na waganga wanaojiita rambaramba wanaoshurutisha watu majumbani kwa lengola kuondolewa vitu vya kishirikina walivyowekewa na mahasidi wao

Wananchi hao wametoa kero hiyo mbele ya mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dr. Khalfani Haule mara baada ya kuwatembelea katika kijiji hicho alipokuwa akikagua miradi ya maendeleo huku mwenyekiti wa kijiji hicho akikiri kushindwa kudhibiti utapeli huo

Naye mwenyekiti wa waganga  wa tiba asili mkoani Rukwa Michael Jackson amekemea vikali suala hilo huku mkuu wa wilaya 

Comments

Popular posts from this blog

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

UTPC KUENDELEA KUELIMISHA UMMA,UMUHIMU WA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI