Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linawashikilia watu watatu wote wakazi wa Kirando wilayani Nkasi kwa tuhuma ya kufukua kaburi la marehemu asiyefahamika jina lake na kukata kichwa chake kisha kwenda kukitelekeza kwenye kichanja cha kuanikia vyombo nje ya nyumba ya mkazi mmoja wa kijiji cha Kirando Mkoani Rukwa. Regina Samwel katika maelezo yake anadai aliamka kwenda uani lakini anakutana na harufu kali isiyoyakawaida hivyo alirudi ndani kumwarifu mamake aliyetoka nje na kukuta kichwa cha binadamu kimehifadhiwa kwenye sufuria juu ya kichanja cha vyombo kilichopo nje ya nymba yao. Katika uchunguzi wa awali wa Polisi katika eneo la Kirando walifanikiwa kumkamata mtu mmoja kutokana na mfanano wa nyayo zake zilizoonekana kwenye eneo la tukio na hata kwenye kaburi hilo, hali iliyowashangaza hata wakazi wa eneo hilo wakidai kuwa hawajawahi ona tukio la aina hiyo maisha mwao. Kamanda wa Polisi mkoani Rukwa William Mwampaghale amesema licha ya ku...
Being,China -Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU)inashiriki kongamano la 5 la kimataifa la mashirikiano katika mapambano dhidi ya rushwa,linaloendelea jijini Beijing China. Kongamano hili limewakutanisha mamlaka 219 kutoka nchi 121 duniani,likilenga kubafilishana uzoefu na utaalamu katika jukumu la kuzuia na kupambana na rushwa Kongamano hili la siku Tano limejumuisha warsha ya viongozi wa mamlaka za kuzuia na kupambana na rushwa(high level Forum),ambapo Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU ,Bw.Crispin Francis Chalamila,amewasilisha mada kuhusu "mfumo wa Sheria wa Tanzania katika mapambano dhidi ya rushwa"katika mada yake Bw.Chalamila ameeleza jinsi ambavyo serikali ya Tanzania imekuwa ikijipambanua katika mapambano dhidi ya rushwa kwa kuimarisha mifumo ya Sheria na ya kitaasisi.Alibainisha uanzishwaji wa divisheni ya mahakama kuu inayoshughulikia masuala ya rushwa na uhujumu uchumi kuwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha uwajibikaji na utawala Bora. TAKUKURU...
Kikosi cha Tanzania Prison kimejiandaa vizuri katika kuwakabili wahasimu wao Biashara United katika mchezo wao utakaochezwa katika dimba la Nelson Mandela mjini Sumbawanga. SHABANI KAZUMBA Kocha msaidizi wa club hiyo anasema kikosi chake kimajiandaa vikali kuhakikisha wanapata ushindi kwani wakikutana na timu yake pinzani huwa wanasumbuliwa wakiwa ugenini hivyo atatumia vyema nafasi yake ya Nymbani kuhakikisha anachukua pointi 3 muhimu kutoka kwa Biashara united....Imeandaliwa na PETER HELATANO
Comments
Post a Comment