JUKWAA LA UCHUMI KUZINDULIWA HIVI KARIBUNI

Wananchi kupata fursa ya kujifunza Biashara,uchumi,mikopo,kampuni na viwanda Kupia kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi kinachozinduliwa Aprili 23,2021 katika viunga vya bustani Uwanja wa Nelson Mandela Sumbawanga mjini.Hivyo ni muda sasa wananchi pamoja na wadau wengine wa maendeleo kujitokeza katika viunga hivyo. “Frank Maten”



Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.