JUKWAA LA UCHUMI KUZINDULIWA HIVI KARIBUNI

Wananchi kupata fursa ya kujifunza Biashara,uchumi,mikopo,kampuni na viwanda Kupia kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi kinachozinduliwa Aprili 23,2021 katika viunga vya bustani Uwanja wa Nelson Mandela Sumbawanga mjini.Hivyo ni muda sasa wananchi pamoja na wadau wengine wa maendeleo kujitokeza katika viunga hivyo. “Frank Maten”



Comments

Popular posts from this blog

WALIOFUKUA KABURI WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI RUKWA

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

KUELEKEA MCHEZO WA TZ PRISON NA BIASHARA UNITED...USHINDI LAZIMA