KITUO CHA UWEZESHAJI WANACHI KIUCHUMI KUZINDULIWA RASMI SUMBAWANGA

 Wananchi Kupata fursa ya kujifunza uchumi,biashara,mikopo,kampuni na viwanda kupitia kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi kilichozinduliwa Aprili 23,2021 katika viunga vya bustani Uwanja wa Nelson Mandela Sumbawanga. Ikiwa ni kutii Agizo na maelekezo yaliyotolewa na Waziri mkuu Mh.Kasim Majaliwa mwaka 2018 akiwa ziara Kahama Alizitaka halmashauri zote nchini kuanzisha kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi.Kutokana na agizo hilo halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga Wamechukua hatua mathubuti ili kutekeleza jitihada na shughuli za serikali kuanzisha kituo hiki cha uwezeshaji wananchi kiuchumi kushirikiana na wadau kufanikisha malengo ya kituo.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.