Wadau wa maendeleo hapa  nchini  German committee, wametoa msaada  wa vifaa tiba vya  kutolea huduma za  macho   hatika halmashauri zote zilizopo katika mkoa wa Rukwa  na kujenga  kutuo kikuu cha huduma za matibau ya macho katika  hospitali teule ya wilaya  ya Dr Atman   kwalengo la kuboresha na kusogeza huduma  za matibabu ya macho kwa  wananchi,

Akizunguza mara baada ya kukabidhi vifaatiba mbalimbali ambamyo baadhi  yake vitakutika katika upasuaji wa macho mwezeshaji wa mawasiliano kati ya germane cometee  ,serikali ya mkoa wa Rukwa na  kanisa  katoliki  jimbo sumbawanga amesema  kuwepo kwa vifaa hivyo kutaboresha na kusogez  huduma za macho kwa wananchi.

Naye baba asikofu jimbo katoliki sumbawanga beatus urasana mnganga mkuu wa mkoa wa Rukwa  dkt bonifas kasululu wamewataka watoa huduma hizo za macho kuvitunza na kuvitumia  vifaa hivyo kama ilivyokusudiwa.

Kwa upande wao watoa huduma za macho akiwepo mgamkuu wa halmashuri ya wilaya ya kalambo Dkt Eugin Rutaisire wamekili kuwpo kwa changamoto za vifaa katika vituo vya kutolea za macho  huku wakielezeana namna vifaa vivyo vitakavyoweza kuinifaisha  jamii.


Kuwepo kwa kituo hiki cha rufaa kwa mkoa huu na na vifaatiba vya kutosha katika kila halimashauri kutaboresha huduma za matbabu ya  machona hiyo jamii hainabudi kuwapongeza wadau hawa wa maendelegemani cometee serikali na kanisa katoliki jimbo la sumbawanga kwa jitihada za kufanikisha kuboresha huduma za macho.

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.