WAKALA WA MAENDELEO YA UONGOZI WA SHULE-ADEM, KUSHIRIKIANA NA WIZARA YA ELIMU ,SAYANSI NA TEKNOLOJIA WAMEENDESHA MAFUNZO YA UTHIBITI UBORA WA SHULE WA NDANI KWA WALIMU WAKUU KATIKA SHULE MBALIMBALI HAPA TANZANIA, KATIKA NYANDA ZA JUU KUSINI MAFUNZO HAYA YAMETAMATIKA MKOANI RUKWA YAKIUNGANISHA WALIMU KUTOKA MKOA WA SONGWE,RUKWA NA KATAVI

Comments

Popular posts from this blog

Watumishi Wa Umma Wilayani Kalambo Waungana Kuadhimisha Kumbukizi Ya Mashujaa Kwa Kufanya Usafi.

Dc Kalambo Ataka Walio Husika Kumuozesha Mwanafunzi Wa Darasa La Saba Kukamatwa

Mkurugenzi UTPC awataka Waandishi kuandika Habari za Usawa wa kijinsia ili kuleta mabadiliko Chanya katika jamii.