MKUU WA MKOA RUKWA JOACHIM WANGABO ATOA MAAGIZO UJENZI WA SHULE


 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa maagizo kwa Manispaa ya Sumbawanga kukamilisha ujenzi wa shule ya msingi Mkuyuni ili kuepusha mlundikano na wanafunzi kutembea umbali kwenda shule ya Msingi King'ombe.

Comments

Popular posts from this blog

SERIKALI KUWEKA MIPAKA KULINDA VYANZO VYA MAJI

Karibu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA