Katibu Tawala wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Frank Sichalwe akiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya hiyo, wakikagua maduka yanayouza saruji kwa bei ya juu kwenye mji wa Matai wilayani humo.


Comments

Popular posts from this blog

TAKUKURU YAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA KONGAMANO LA 5 LA GLOBE NETWORK NCHINI CHINA

KUELEKEA MCHEZO WA TZ PRISON NA BIASHARA UNITED...USHINDI LAZIMA

RC SENDIGA: TUTAFANYA MAPINDUZI YA KILIMO RUKWA