CUF WAJITOSA KUCHUKUA FOMU YA UBUNGE SUMBAWANGA MJINI







Baada ya kusuasua kwa zoezi la kuchukua kwa siku mbili, hatimaye Mgombea wa CUF, Julius Mizengo awa wa kwanza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Sumbawanga Mjini.

Comments