Posts

Showing posts from August, 2020

Maelfu Ya Waumini Wajitokeza Kuombea Uchaguzi''kalambo.''

Image
Na Baraka Lusajo. Rukwa Waamini pamoja   na wachungaji kutoka   madhehebu mbalimbali   ya   dini kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama wilayani   Kalambo mkoani Rukwa, wameungana kuendesha   kongamano la   kumuomba mwenyezi Mungu ili uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu, uwe wa haki   ili kuilinda amani na utulivu uliopo kwa lengo la   kuivusha nchi ikiwa salama bila   kumwaga damu. Makamu askofu wa kanisa la FPCT jimbo la   Rukwa na katavi Andrea   Mwakalinga   amesema   watumishi   wa   Mungu   tunahitaji kamapeni safi bila   ugomvi   na kwamba kufanya fujo   ni   kukosa hekima   ya   kimungu. Amesema   kwa kuwa   wagombea   wote wanatoka   katika makanisa na misikiti   yetu, Mashehe na Wachungaji tuta hakikisha tuna hubiri amani na utulivu kwenye mihadhara   yetu. ‘’sisi tuna watu wengi wanao tufuata makanisani na misikitini mwetu, hivyo hatunabudi kuhimiza upendo ili zifanyike kamapeni zisizo na ugonvi kwenye maj

Msimamizi wa uchaguzi Jacob Mtalitinya akimkabidhi fomu ya kugombea Ubunge, ndg Julius Mizengo mgombea kupitia chama wa wananchi CUF.

Image
 

CUF WAJITOSA KUCHUKUA FOMU YA UBUNGE SUMBAWANGA MJINI

Image
Baada ya kusuasua kwa zoezi la kuchukua kwa siku mbili, hatimaye Mgombea wa CUF, Julius Mizengo awa wa kwanza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Sumbawanga Mjini.